Diwani ashauri malezi bora

ARUSHA: DIWANI wa Viti Maalum Tarafa ya Suye mkoani Arusha, Michelle Mrema, amewataka wanawake nchini kuendelea kuwa walezi wa amani,uvumilivu na mshikamano, akisisitiza kuwa misingi hiyo ni muhimu katika kuwalea watoto watakaokuja kuwa walinzi wa amani ya taifa.
Mrema ametoa rai hiyo wakati wa hafla fupi ya kuwashukuru Wanawake wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoani Arusha kwa kumuamini na kumchagua kuwatumikia.

Hafla hiyo imefanyika katika Kata ya Sokoni I, Jijini Arusha, ikiwa na kauli mbiu isemayo “Wanawake wa UWT ni msingi wa amani, uongozi na maendeleo ya taifa.”

Amesema ili taifa liendelee kubaki salama, wazazi na walezi wana wajibu wa kuwalea watoto katika misingi ya maadili, uzalendo na mshikamano, itakayowawezesha kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya nchi.

Pia ameahidi kushirikiana kwa karibu na wanawake wa UWT katika kutatua changamoto zinazowakabili, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya viongozi na wananchi katika kuleta maendeleo ya kweli.




I make up to $220 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $450h to $890h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now I am hoping I could help someone else out there by sharing this link.Try it, you won’t regret it!.
HERE→→→→→→→→→→ https://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com