Gabriel Jesus amerejea!

LONDON: MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Jesus, amerejea mazoezini baada ya kukosekana uwanjani kwa miezi 10 kutokana na majeraha aliyoyapata mwezi Januari katika mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Manchester United.
Katika ‘video’ fupi zilizowekwa jana jioni na timu hiyo kwenye mtandao wa Instagram, zilimuonesha Jesus akiwa mazoezini na kikosi cha kwanza cha timu hiyo akifanya mazoezi.
Jesus alinukuliwa akisema: “Ndiyo, najisikia vizuri. Goti langu linapona vizuri sana. Kwa hivyo natarajia kuwa karibu na timu hivi karibuni, kurudi kufanya kile ninachopenda kufanya. Imekuwa muda mrefu sana”.
Baada ya kurejea nyota huyo, Arsenal wanamatumaini ya kurejea kwa Martin Odegaard, Noni Madueke, Kai Havertz Martin Zubimendi, Viktor Gyokeres katika mchezo wa dabi dhidi ya Tottenham Hotspurs baada ya mechi za FIFA.




I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com