Picha: Yanga yatwaa kombe Afrika Kusini

AFRIKA KUSINI; Timu ya Yanga ya Dar es Salaam imetwaa Kombe la Toyota baada kuifunga Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini mabao 4-0 katika mchezo wa Kombe la Toyota uliofanyika Uwanja wa Toyota nchini Afrika Kusini leo Julai 28, 2024. (Picha na mtandao wa Yanga).

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki akikabdhiwa mfano wa hundi baada ya kuibuka Mchezaji Bora wa mchezo huo wa leo. (Picha kwa hisani ya Yanga).