Historia Kuandikwa leo

DAR ES SALAAM: Leo Septemba 30, 2023 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (JNICC) katika Jiji la Dar es Salaam, Tanzania inaenda kushuhudia tukio la kisasa na kihistoria kwa Balozi Dk. Salim Ahmed Salim, kuandaa kumbukizi ya maisha yake na mchango wake katika jamii ya ndani na ile ya Kimataifa kupitia mfumo wa Kidigitali (tovuti).

Dk. Salim Ahmed Salim anatambulika kama Mwanadiplomasia wa Kimataifa aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, ikiwema Waziri wa Mambo ya Nje kuanzia mwaka 1980-1984, Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia Aprili 24, 1084- Novemba 05, 1985, Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi za Afika (OAU) ambayo ni (AU) ya sasa (1989-2001).

Ameandaa historia ya maisha yake na harakati zake katika siasa, diplomasia na utumishi wa umma na harakati za ukombozi za Uhuru wa Bara la Afrika, aliouandaa kupitia tovuti maalumu yenye masimulizi yanayoshereheshwa na matumizi ya picha mnato na picha mjongeo.

Dk. Salim, ni mwanasiasa kutoka Tanzania, amezaliwa Januari 23, 1942 huko Zanzibar kipindi cha Utawala la Sultan. Ameishi katika duru za kidiplomasia tangu miaka ya 1960.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Dorothy
Dorothy
2 months ago

I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link…. http://Www.Smartwork1.com

KathyNelson
KathyNelson
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by KathyNelson
EmeraldEartha
EmeraldEartha
2 months ago

I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.(j 33w)
Just open the link——->> http://Www.SmartCareer1.com

MAPESA1234567
MAPESA1234567
2 months ago

HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL “CONFERENCE” DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE…. KILICHOBAKI BABA/BWANA YESU ASIFIWE DISEASE

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x