Jifunze Kiswahili

We proceed with our letter which start with letter F

Fundisha means to teach, to educate, to instruct, can be student or anyone who supposed to acquire knowledge, sample translated sentence Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako, mtu yeyote na asikudharau,(These things speak,and exhort, and rebuke with all authority. Let no man despise thee).

“Tupatapo tu mtu huyu”, asema msemaji , “twachukua kwamba twaweza kumfundisha stadi Fulani hususani za kazi”, (Once we find that person, says a spokesman, “we assume we can teach(him)specific job skills,” fundisha wengine yale ambayo Mungu anataka (teach other what God Requires.

Advertisement

Fundi a person who has extensive skill or knowledge in a particular field, sample translated sentence, baadae alijiunga na elimu ya sekondari ambapo ni mara chache sana alipata muda wa kufanya biashara yake ya mkaa, hivyo alilazimika kuwa fundi viatu, alikuwa akirekebisha viatu vya Watoto shuleni. (then letter he joined secondary school and could barely afford time to do his charcoal business so he become a cobbler, he used to repair shoes of kids at school) sauti za vinubi na muziki,sauti za wapiga filimbi na tarumbeta hazita sikika tena ndani yako, hakuna fundi wa namna yeyote ile atakayepatikana tena ndani yako ;wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikika tena ndani yako. (and the voice of harpers, and musicians, and of piper, and trumpeters, shall be heard no more at all in thee; and the sound of a millstone shall be heard no more at all in thee.

Fukuza means chase, chase away, chase out, discharge, dismiss, drive away, drive off. sample transmitted sentence fukuza msichana mtumishi na mwana wake kwa maana kamwe mwana wa msichana mtumihi hatakuwa mrithi Pamoja na mwana wa mwanamkealiye huru,(Drive out the servant girl and her son,for by no means shall the son of the servant girl be an heir with the son of the free women,

We will continue next timej