To day we are looking for the Swahili word which start with letter G
Ghala means warehouse,pantry.storage, storeroom.granary. But in our country that word ghala can be shown as follows ghala la kuhifadhia chakula ,(storage of food) ghala la kuhifadhia mazao ya biashara,( the storage of cash crops).sample translated sentence.Mkoa umekua ghala kwa ajili ya milki nzima ya nchi,ikitosheleza mahitaji ya nchi hiyo kwa kutokeza bidhaa hizo muhimu,(The tegion Soon became a granary for Rome,supplying the empire with these essential commodities).Hati zilizo chakaa zilihifadhiwa katika ghala ngogo kwenye sinagigi lililoitwa genizah,ambalo ni neno la kiebrania,linalo maanisha maficho.(The manuscript were careful placed in a small storehouse called a genizah ,meaning ,hiding place in Hebrew.
Gati means pier,dock,stages.sample translated sentence .juu ya Gati,ficheto aliweka nguzo za mialoni,( on top of piers,ficheto laid solid pale beams and planks.safari yetu inaanzua Gati za ghuba ya paracas.( Our journey begins at the docks in the bay paracas.
Galoni means gal(gallon).karibia na kristmas nyumbani kwangu Tennessee galoni billion za majimaji ya makaa ya mawe zilivuja.( Around Christmas,in my human Tennessee, a billion gallons of coal sludge was spilled.)karibu theluthi Moja ya Kila galoni Moja ya maji safi yanapitushwa kwa mfumo huo huvuja.(About a third of every gallon of fresh water pumped into the system leaks out.