Kinana aahidi jambo wakulima wa pamba

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  Abdulrahman Kinana ametembelea mashamba ya pamba wilayani Itilima, mkoani Simiyu ili kujionea ustawi wa zao hilo.

Kinana amefikia hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko  kutoka kwa wakulima wa zao hilo kuhusu  kuporomoka kwa bei.

Mwaka jana kilo moja iliiuzwa sh 2,000 lakini mwaka huu imeporomoka hadi sh 1,200.

Akiwa shambani hapo Kinana ameahidi kukutana na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kesho mkoani Tabora na kuzungumza naye kuhusu mustakabali wa kunusuru zao hilo.

“Kesho nitakua na Bashe, nitazungumza naye kwa kina, tuangalie namna ya kuwasaidia wakulima wa pamba na kulinusuru zao hili kuporomoka,” amesisitiza.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Elsa J. Clark
Elsa J. Clark
1 month ago

Presently You’ll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface_____ https://Fastinccome.blogspot.Com/

Last edited 1 month ago by Elsa J. Clark
femodal757
femodal757
Reply to  Elsa J. Clark
1 month ago

𝐆𝐫𝐞𝐚𝐭 𝐚𝐫𝐭𝐢𝐜𝐥𝐞, 𝐌𝐢𝐤𝐞. 𝐈 𝐚𝐩𝐩𝐫𝐞𝐜𝐢𝐚𝐭𝐞 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐰𝐨𝐫𝐤, 𝐢’𝐦 𝐧𝐨𝐰 𝐜𝐫𝐞𝐚𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐨𝐯𝐞𝐫 $𝟑𝟓𝟎𝟎𝟎 𝐝𝐨𝐥𝐥𝐚𝐫𝐬 𝐞𝐚𝐜𝐡 𝐦𝐨𝐧𝐭𝐡 𝐬𝐢𝐦𝐩𝐥𝐲 𝐛𝐲 𝐝𝐨𝐢𝐧𝐠 𝐚 𝐬𝐢𝐦𝐩𝐥𝐞 𝐣𝐨𝐛 𝐨𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞! 𝐢 𝐝𝐨 𝐤𝐧𝐨𝐰 𝐘𝐨𝐮 𝐜𝐮𝐫𝐫𝐞𝐧𝐭𝐥𝐲 𝐦𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐚 𝐥𝐨𝐭 𝐨𝐟 𝐠𝐫𝐞𝐞𝐧𝐛𝐚𝐜𝐤𝐬 𝐨𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞 𝐟𝐫𝐨𝐦 $𝟐𝟖𝟎𝟎𝟎 𝐝𝐨𝐥𝐥𝐚𝐫𝐬, 𝐢𝐭𝐬 𝐬𝐢𝐦𝐩𝐥𝐞 𝐨𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞 𝐨𝐩𝐞𝐫𝐚𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐣𝐨𝐛𝐬.
.
.
𝗝𝘂𝘀𝘁 𝗼𝗽𝗲𝗻 𝘁𝗵𝗲 𝗹𝗶𝗻𝗸———> https://newjobshiring.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by femodal757
Arlenta
Arlenta
1 month ago

> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
1 month ago

My most recent pay test was $9,500 for 12 hours of internet labor each week. For months, my friend has been averaging 15,000 and working roughly 20 hours each week. I couldn’t believe how simple it got once I tried it.
.
.
Detail Here———————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Mining Census 2023/Ms Mtumwa Said Sandal
Mining Census 2023/Ms Mtumwa Said Sandal
1 month ago

Mining Census 2023

Watanzania mnakaribishwa kwenye SENSA ya Madini 2023 yenye lengo la kujua idadi ya migodi Tanzania, Idadi ya wachimbaji au watanzania wanaoshughulika na sekta ya Madini, Hali ya uchimbaji wa madini (zana zitumikazo kwa kila mgodi, aina ya teknolojia) na mapendekezo ya mbinu za kuboresha Sekta ya Madini.

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x