Kiongozi ACT ajiandikisha uchaguzi mitaa

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Zoezi hilo limefanyika leo Oktaba 20, 2024 kijijini kwao Nshara – Kituo cha Nkwasangare, Kata ya Machame Kaskazini kwenye Kitongoji cha Marukeni, Jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro.
Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Ndugu, @SemuDorothy leo 20 Octoba,2024 amejiandikisha kupiga Kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kijijini kwao Nshara – Kituo cha Nkwasangare,Kata ya Machame Kaskazini kwenye Kitongoji Cha Marukeni Katika Jimbo la Hai,Mkoani Kilimanjaro. pic.twitter.com/Cb2HAseszH
— ACTWazalendo (@ACTwazalendo) October 20, 2024