Kituo chaahidi huduma bora

DAR ES SALAAM: WANANCHI wameendelea kunufaika na ajira katika cha Kituo Uwekezaji cha APC Hotel and Conference Centre huku kituo kikijivunia huduma bora kwa wananchi wake.

Kituo hicho kimesema kitaendelea kikijipambanua kwa huduma zake zinazokidhi viwango vya kimataifa. Huduma hizo zimechangia kukuza uchumi na kuvutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi, hususan katika sekta ya biashara na utalii.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Ofisa Masoko wa kituo hicho, Happy Sanga, amesema kituo hicho kinaendelea kushirikiana na serikali katika kuboresha ubora wa huduma ili kuvutia wawekezaji zaidi. Amesema juhudi hizo pia zimekuwa kichocheo cha ajira kwa wananchi na kuongeza idadi ya wateja wanaotumia huduma zao.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button