Kuondoa usumbufu, uharibifu vyombo vya moto

Mafundi ujenzi wakitengeneza mtaro wa kupitisha maji ya mvua katika barabara ya Mtaa wa Lindi, Kariakoo jijini Dar es Salaam. Eneo hilo hujaa maji hasa katika kipindi cha mvua na kusababisha usumbufu na uharibifu wa vyombo vya moto vinavyoitumia. (Picha na Venance Nestory)
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *