RAIS wa heshima wa klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji amesema anakaribia kukata tamaa kwenye mchakato wa mabadiliko wa klabu hiyo.
“Mo ametoa kauli hiyo kwenye ukurasa wake wa Twitter.
“
“Transformation ya Simba bado haijakamilika. Huu ni mwaka wa 6. Karibuni ntakata tamaa.” Ameandika Mo.
https://twitter.com/moodewji/status/1678705702720634881?s=20