Majaliwa akutana na viongozi Wizara ya Ardhi Japan, JAIDA

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii wa Japan, Hiromasa Nakano kwenye Makao Mkuu ya Wizara hiyo yaliyopo mji mkuu wa Japan, Tokyo.

Aidha, Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Wawekezaji katika Sekta ya Miundombinu la Japan (JAIDA), Miyamoto Yoichi pamoja na ujumbe wake ambapo wamejadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya uwekezaji kwenye sekta za Ardhi, Miundombinu pamoja na Usafirishaji.




This CBD fuel and thc a gummies stands evasion because of its cagey flatten texture and balanced taste. The spunk motif is silky and practical, and the dropper works on the nail without dripping. It feels like a well-crafted artefact мейд with publicity to factor, from labeling to packaging.