Mapinduzi sekta makazi mradi wa dola mil 250 ukizinduliwa Zanzibar

Zanzibar: Kampuni ya Infinity Developments imezindua rasmi mradi wa makazi na matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills katika eneo la Kikwajuni, Stone Town, baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria.
Infinity Hills unatarajiwa kuwa na makazi ya kisasa yatakayoweka viwango vipya vya maisha ya mjini Zanzibar, kwa kuunganisha urahisi wa huduma za mijini na uzuri wa asili wa kisiwa hicho.
Mradi huo utajumuisha jumla ya nyumba 1,112 zilizobuniwa kisasa, zikiwemo studio, nyumba ya vyumba viwili vya kulala na nyumba ya chumba kimoja cha kulala, pamoja na maeneo ya biashara na ofisi.
Akizungumza kuhusu mradi huo, Mwenyekiti wa Infinity Developments, Samuel Saba, alisema Infinity Hills ni kielelezo cha dhamira ya muda mrefu ya kampuni hiyo katika kujenga makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu na yanayoendana na mahitaji ya baadaye Zanzibar.
“Nina furaha kubwa kutambulisha Infinity Hills, mradi wa makazi wenye maono mapana uliobuniwa kuleta muunganiko kamili wa faraja, urahisi na ustaarabu wa kisasa,” alisema Bw. Saba.
“Mradi huu uko katika eneo la kimkakati ukiendana na upekee wa Zanzibar huku ukitoa mtindo wa maisha wa kisasa na wa hadhi ya juu,” aliongeza kusema.
Mradi huo umejengwa jirani na bustani ya umma iliyopambwa kwa mandhari nzuri na upo karibu na ufukweni. Infinity Hills unaunganisha makazi na maeneo ya wazi ya kijani, migahawa na huduma za burudani. Aidha, uko dakika chache kutoka Stone Town na karibu na miundombinu muhimu ya kijamii, ikiwemo GEMS Zanzibar International School pamoja na vituo muhimu vya afya.
“Infinity Hills si tu mahali pa kuishi; ni jamii inayojenga hisia halisi ya kuwa sehemu ya pamoja,” aliongeza Bw. Saba.
“Kuanzia migahawa ya kuvutia na mabwawa ya kuogelea hadi maeneo yaliyobuniwa kwa ajili ya mapumziko na mwingiliano wa kijamii, kila kipengele kinaakisi dhamira yetu ya ubora, ubunifu na thamani ya muda mrefu,” alisema.
Kwa mujibu wa kampuni hiyo, mradi huo utakuwa na bwawa la kuogelea la pamoja, bustani zilizopangwa kitaalamu, maeneo ya biashara, migahawa pamoja na eneo la michezo kwa watoto. Wakazi pia watanufaika na uwepo wa Infinity Hills Mall inayotarajiwa kujengwa, itakayojumuisha maduka ya rejareja, migahawa na vinywaji (F&B), pamoja na ofisi za kisasa ndani ya jengo maalum la biashara.
“Tumeubuni mradi huu kuunganisha makazi, biashara na huduma za mtindo wa maisha ndani ya eneo moja yaliyopangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu,” alisema Bw. Saba.
“Jengo la biashara lenye maduka, migahawa na ofisi litaongeza urahisi kwa wakazi wa eneo hilo na wakati huohuo kuwa kitovu hai cha kiuchumi kwa jamii.”
Mbali na kuwa makazi ya kisasa, Infinity Hills pia inatajwa kuwa fursa madhubuti ya uwekezaji, kufuatia kuongezeka kwa mahitaji ya makazi bora Zanzibar.
Baadhi ya vivutio vya uwekezaji ni pamoja na eneo lake la kimkakati ndani ya Stone Town, ukaribu na moja ya bustani kubwa za umma kisiwani, ukaribu na bahari, ruhusa ya umiliki kwa wageni pamoja na huduma za usimamizi wa upangishaji baada ya mauzo.
“Infinity Hills inawapa wawekezaji nafasi ya kunufaika na mapato ya upangishaji, ongezeko la thamani ya mitaji kwa muda mrefu na usimamizi wa upangishaji usio na usumbufu,” alisema Bw. Saba.
“Kwa ubora wa hali ya juu katika ukamilishaji wa majengo, huduma bora na eneo la kimkakati, mradi huu unatoa tafsiri ya makazi ya kifahari Zanzibar.”
Baada ya kukamilika kwa taratibu zote za kisheria, Infinity Developments imesema ujenzi utaanza kulingana na mpango wa utekelezaji wa awamu za mradi huo.
“Timu yetu imefanya kazi kwa shauku na kujituma kugeuza maono haya kuwa uhalisia,” alisema Bw. Saba.
“Nina imani Infinity Hills itazidi matarajio na kuweka alama mpya ya viwango vya makazi Zanzibar.”




I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she kaz convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
HERE————— http://www.giftpay7.vip
I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
1. Executive summary
This document sets out a guiding roadmap for food systems transformation in Tanzania. It
builds on learnings from previous sectoral plans and the Agricultural Sector Development Programme II Mid-Term Review (ASDPII MTR). It lays out a 2050 vision for the food system and a shorter-term plan until 2030. At the time of publication (March 2024), its technical elements have been completed, including a detailed implementation plan. Future steps include confirmation of governance arrangements, budget financing, and setting out in detail shortterm local implementation plans working together with local government authorities (LGAs) and others.
Tanzania is aiming to reach upper middle-income status by 2050, in line with its Vision 2050. Achieving this ambitious vision requires a fourfold increase in gross national income (GNI) per capita by 2050, or in other words, an average of 8% annual growth across the entire economy for 25 years. Such growth rates are ambitious but not unprecedented. Other countries have achieved whole-economy transformations in the past. This prosperity depends, however, on significant improvements in food systems and in the productive agricultural sector in particular – that is to say, crops, livestock and fisheries. For not only is the agricultural sector one of the largest contributors to GDP (28%) and largest employer (65%) in Tanzania (in 2022), it is also a critical enabler for the rest of the economy. Agricultural transformation, impacting entire food systems, is a critical driver of inclusive economic growth. It leads to overall increases in GDP, reduces poverty, safeguards sustainable and resilient food systems, and frees up workforce from the agricultural sector.
An ambitious 2050 vision for the food system has been developed via an iterative and consultative approach rooted in the diagnostic and lessons learned from previous transformations. Challenges and opportunities were identified using this detailed diagnostic as well as reviewing prior and current strategies applied in Tanzania (e.g., MTR of ASDP II), cases of international agricultural transformations, and key trends impacting the sector (notably climate change and nutrition). These challenges and opportunities were used as input to develop the vision, along with national priorities, input from stakeholders across the public, private and social sector, and a robust macro-economic model. The resulting agriculture vision for 2050 outlined in this document is one that is both ambitious and achievable and which can lead to a holistic transformation of the food systems, establishing agriculture as a key pillar of Tanzania’s overall development. This AMP vision, which also touches on the food system, can
serve as a key input to a broader Vision 2050 for Tanzania:
An ambitious 2050 vision for the food system has been developed via an iterative and consultative approach rooted in the diagnostic and lessons learned from previous transformations. Challenges and opportunities were identified using this detailed diagnostic as well as reviewing prior and current strategies applied in Tanzania (e.g., MTR of ASDP II), cases of international agricultural transformations, and key trends impacting the sector (notably climate change and nutrition).
These challenges and opportunities were used as input to develop the vision, along with national priorities, input from stakeholders across the public, private and social sector, and a robust macro-economic model. The resulting agriculture vision for 2050 outlined in this document is one that is both ambitious and achievable and which can lead to a holistic transformation of the food systems, establishing agriculture as a key pillar of Tanzania’s overall development. This AMP vision, which also touches on the food system, can serve as a key input to a broader Vision 2050 for Tanzania:
By 2050, Tanzania’s agricultural sector will be a driving force of economic prosperity with agricultural GDP quintupling to $100 billion (~280 trillion TZS), as a result of
decades of unprecedented growth. At the heart of this vision is a commitment to at least triple productivity of key commodities in a resilient and sustainable way ensuring that every Tanzanian enjoys security of nutritious high-quality food, making hunger a thing of the past. This leap forward will fuel rural development as increased productivity and access to markets will double smallholder income and eradicate extreme poverty. Simultaneously, a surge in agribusiness will increase large-scale production and increase food processing fivefold, creating millions of well-paid jobs, all the while placing women and young people at the heart of this transformation. This growth in production and processing will steer the country towards becoming a breadbasket of the region and a powerhouse in the global export market, making overUS$20 (~55 trillion TZS) billion in agriculture Exports.
It is clear from the outcomes above mentioned, that the agricultural sector will be a driving force to reach upper-middle income status by 2050. These outcomes, and the
critical role of the sector on the broader economy has been modelled using a robust dynamic economywide model called Rural Investment and Policy Analysis (RIAPA). The model tracks how various interventions will impact the agrifood system and how these changes affect household and individual level outcomes, such as incomes, poverty, and undernourishment. The model also enables to show the impact of implementing the AMP compared to a “businessas-usual”.
To complement this 2050 vision, a mid-term ambition has been set for 2030 to achieve the first stage of the agriculture transformation:
• Reach 10% annual growth rates in the agricultural sector by 2030
• Enhance productivity of key commodities by >50% in a sustainable and resilient way
• Increase smallholder income by >25% (to approximately 4 million TZS)
• Promote the development of medium and large-scale commercial entities across the
value chain and increase agri-processing to US$3 billion (~8 trillion TZS)
• Reach US$6 billion (~16 trillion TZS) in net exports
To achieve these ambitions, 15 flagships have been designed and 20 commodities prioritised. These flagships are ambitious development projects. Each can be catalytic in achieving the priority areas of the Agriculture Master Plan, and each addresses critical bottlenecks across the value chain. Together, they can enable the growth of priority commodities while ensuring equal access to these opportunities for men, women, and youth. Each of these commodities has been selected for having high impact, supporting a marketcentric approach and being consistent with a shift to higher-value commodities (including for export). Prioritisation was based on share of agricultural GDP, growth potential, contribution to nutritious diets and food security, resilience/adaptation potential, and relevance to smallholders. An overview of the priority commodities and the flagships designed around them is set out below.
Implementing the flagships has an estimated cost for Government of US$5.5 billion (~15 trillion TZS) between 2024-2030 and will increase GDP by US$20 billion (~55 trillion TZS) of which US$13 billion (~35 trillion TZS) comprises agricultural GDP and US$7 billion (~20 trillion TZS) is spread across the wider economy. Successfully implementing the Agriculture Master Plan (AMP) will lead to widespread benefits across society that go beyond GDP growth. Average smallholder income will increase by >25% and lead to 7 million fewer people living in poverty (using the World Bank’s international poverty line). Increased incomesand h igher food production will reduce the share of the population who are undernourished from 25% to 15%. Finally, workforce composition will start to change as the share of people working in agriculture drops from 65% to 60%. The overall impact of the AMP’s implementation is shown on the next page, highlighting the differences from maintaining a business-as-usual
scenario.
I earned $17,932 last month by working online for just 2 hours a day. This job is simple, flexible, and beginner-friendly,S1 making it accessible to everyone. It has helped me manage my finances effortlessly while focusing on my education as a full-time student.
You can click on this the website and begin
right away….www.today.earn54.com
My best friend’s sister gets $180 an hour on the internet… she’s been laid off for two months, the previous month her paycheck was $20328 only working at home for a couple of hours each day…
check out……… http://www.jobathome1.com