Mawaziri watakiwa kutenga muda kero za wananchi

DODOMA; Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya kutenga muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi hususan migogoro ya ardhi.
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo kwenye hotuba yake yak kuahirisha shughuli za Bunge la 13 Mkutano wa Pili ulioanza Januari 27, 2026.
“Niendelee kuwasisitiza mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na Watumishi wa umma watenge muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika maeneo yao hususan kwenye migogoro ya ardhi.
“Wafuateni, wasikilizeni na tatueni kero zao, ili wasilazimike kwenda ngazi za juu au kusubiri ziara za viongozi wa kitaifa kwa masuala ambayo mngeweza kuyafanyia kazi,” amesema Waziri Mkuu.




I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
Try it, you won’t regret it!….. http://www.hot.cash54.com