Mtanzania achomoza ufungaji bora Ufilipino

UFILIPINO; MCHEZAJI wa Tanzania Mary Siyame, yupo kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kiatu cha dhahabu katika fainali za Kombe la Dunia la futsal kwa wanawake zinazoendelea mjini Manila, Ufilipino.

Tanzania ilianza vibaya michuano hiyo baada ya kufungwa mabao 10-0 na Ureno mchezo wa kwanza, kabla ya kuzinduka jana na kuifunga New Zealand mabao 4-2, huku Mary akifunga mabao matatu.

Mary anawania nafasi hiyo na Emily wa Brazil, Vane Sotelo wa Hispania, Ana Azevedo wa Ureno, Sara Boutimah wa Italia, Sara Oino wa Japan na Derika Peanpailun wa Thailand wenye mabao matatu kila mmoja, huku Renata Adamatti wa Italia akiongoza mbio hizo kwa kupachika mabao manne.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button