Muhimbili yafanya upasuaji wa bandama
Ni Kwa mara ya kwanza

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imefanya upasuaji mkubwa wa kuondoa bandama lenye shida kwa mgonjwa kwa njia ya matundu madogo (laparoscopic splenectomy).
Upasuaji huu ni wa kwanza kufanyika hapa nchini ambao umefanywa na madaktari wa upasuaji wa MNH kutokana na ubobezi walionao.
Akizungumza na HabariLEO, Daktari bingwa wa upasuaji mfumo wa chakula na ini ambae aliongoza jopo la madaktari, wauguzi, na wataalamu wa ganzi na usingizi katika upasuaji huo, Dk
Kitembo Kibwana amesema, upasuaji huo umekua na mafanikio makubwa.
Akifafanua amesema, “Bandama (wengu) ni kiungo cha mwili chenye nafasi katika mzunguko wa damu. Lipo ndani ya fumbatio ya mwili karibu na mfuko wa chakula ambapo kazi yake kubwa ni kuongeza seli nyeupe za damu na kuondoa seli nyekundu za damu zilizozeeka.”Amesema
Amesema, kwa watoto bandana lina jukumu la kutengeneza seli nyekundu za damu. Watu wazima kwa kawaida wanaweza kuishi bila ya bandama.
Aidha, amesema hospitali ya Taifa Muhimbili inaendelea kuboresha huduma zake mbalimbali ikiwemo upasuaji mkubwa, uchunguzi na mifumo ya utoaji huduma kwa ujumla wake.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
I am receiving $88 every hour to work on-net. u34 I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avai.
For more info visit………….. http://www.SmartCash1.com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU YA KI.KING INAKUUNGA MKONO
KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.