Papa Francis anaendelea vizuri na matibabu

ROME: HALI ya kiongozi wa Kanisa katoliki duniani Papa Francis, inaendelea kuimarika.

Kwa mujibu wa taarifa iliyoripitiwa na  Shirika la habari la Italia, ANSA imesema  kwa sasa Papa Francis amelazwa katika hospitali ya Gemelli iliyoko mjini Rome.

Taarifa ya makao makuu ya kanisa Katoliki, Vatican imesema Papa Francis hatoweza kujitokeza hadharani kwa sababu madaktari wamemtaka apumzike kwa muda.

Advertisement

SOMA:Urusi yadai Vatican imeiomba radhi kufuatia kauli ya Papa

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *