Prof. Mhando ang’atuka, kumpisha Shivji ZIFF

DAR ES SALAAM: Profesa Mhando atangaza kung’atuka nafasi ya Mkurugenzi wa Tamasha la Filamu la Nchi za Jahazi (ZIFF) na nafasi kukaimiwa na Muongozaji na Mtayarishaji wa filamu, Amil Shivji.
Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa habari leo Oktoba 03, 2023 jijini Dar es Salaam, Prof. Mhando amesema anang’atuka nafasi hiyo sio kwakuwa amechoka ila ni katika kutoa fursa kwa vijana kwakuwa wao wana kasi na maono zaidi katika kuchapa kazi.
“Vijana wanayo nafasi kubwa zaidi ya kuongoza kwa sababu wao wana nafasi kubwa zaidi,” amenukuliwa, Prof. Mhando.
“Napokea kijiti hiki na nataka kuhakikisha uchapaji kazi ili kutangaza uwezo wetu na vipawa vyetu ulimwenguni,” amesema, Shivji.
Aidha, Shivji amesema anaenda kuleta mabadiliko katika muundo wa uongozi, kusaidia wasanii na uandaaji wa matamasha katika kuchagua aina za filamu, pia mtindo bora wa utumbuizaji wa muziki.
Mbali na Utayarishaji na Uongozaji wa filamu, Shivji pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Anavutiwa haswa kutumia kazi yake kupinga uwasilishaji potofu wa historia ya Bara laAfrika. Filamu zake fupi za “Shoeshine” na “Samaki Mchangani” zimetambulika duniani kote na kujizolea sifa nyingi.
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE..
Wangemteua Mwafrika
KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG
TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..
100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg