Rais Samia afanya uteuzi wakuu wa wilaya, wakurugenzi

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Mwanahamisi Athumani Munkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara akichukua nafasi ya Hanafi Msabaha ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
–
Mwanahamisi aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke na uteuzi wake ukatenguliwa na nafasi yake ikachukuliwa na Mobhare Matinyi.
–
Rais Samia amemteua Dk Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu akichukua nafasi ya Mariam Chaurembo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
–
Hassan Bakari Nyange ameteuliwa kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC, kabla ya uteuzi huu, Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo na anachukua nafasi ya Kanali Emmanuel Mwaigobeko ambaye atapangiwa kazi nyingine.
–
Rais Samia pia Ametengua uteuzi wa Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC, kabla ya uteuzi huu, Kafunda alikuwa mwanasheria katika ofisi ya mkemia mkuu.
I even have made $17,180 only in 30 days straightforwardly working a few easy tasks through my PC. Just when I have lost my office position, I was so perturbed but at last I’ve found this simple on-line employment & this way I could collect thousands simply from home. Any individual can try this best job and get more money online going this article…..
>>>>> http://Www.Careers12.com
ORODHA YA MAJINA YA WALIOSHINDWA KULEA WATOTO 2023 HESLB: FULL LIST OF BOARD VITUO VYA MALEZI (HESLB)