Rais Samia atoa Sh milioni 10 kwa Twiga Stars

DAR ES SALAAM: RAIS,Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars kitita cha Sh milioni 10 baada ya timu hiyo kuisambaratisha timu ya Ivory Coast kwa Changamoto ya mikwaju ya penati katika kipute cha kuisaka tiketi ya kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika 2024.
Katika dakika 90 za Mchezo huo Twiga Stars imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 ushindi uliofanya matokeo ya jumla kuwa sare ya mabao mawili baada ya Ivory Coast kushinda mchezo wa juma lililopita wakiwa nyumbani.
Akitoa Taarifa hiyo Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema dhamira ya Rais Samia ni kuona Twiga Stars wanafuzu michuano ya Mataifa ya Afrika 2024.
[ JOIN US ] I am making a good salary from home $16580-$47065/ Dollors week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. (w 72q) I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.SmartCareer1.com
I’ve got my first check for a total of 13,000 dollars. I am so energized, this is whenever I first really acquired something. I will work much harder now and I can hardly hang tight for the following week installment.
.
.
Detail Here…………………………………………………………….. http://Www.BizWork1.Com
I even have made $17,180 only in 30 days straightforwardly working a few easy tasks through my PC. Just when I have lost my office position, I was so perturbed but at last I’ve found this simple on-line employment & this way I could collect thousands simply from home. Any individual can try this best job and get more money online going this article…..
>>>>> http://Www.Careers12.com