Sebastian Deo amchimba mkwara Yohana Daud

DAR ES SALAAM: Bondia Sebastian Deo Kutoka Mbande Chamanzi amemtangazia vita ulingoni mpinzani wake Yohana Daud kuelekea Pambano la safari ya Beach Oktoba 22, 2023 litakalofanyika Rongoni Beach Kigamboni Dar es Salaam
Akizungumza na Habari leo wakati akiendelea na maandalizi yake na mashabiki zake mtaani kwao amesema akiwa ulingoni anabadilika roho na kuwa mnyama mkali.
“Nitabadilika nitakuwa mnyama mkali nitamchakaza Yohana Daud mapema kwenye Pambano siku hiyo.”amesema Sebastian.
Kwa upande wake shabiki wa masumbwi Sudi Hussen amesema bondia wake amejiandaa kuwaletea ushindi.
Naye Kocha wa Bondia huyo Abdallah Mtombo amesema wamejiandaa kumuunga mkono kwa kwenda kushuhudia akimtwanga TKO mpinzani wao siku hiyo kwa kuwa kajipanga kutembeza kichapo.
I am receiving $88 every hour to work on-net. I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avail…
Copy and Click Here……….> > http://Www.Smartcash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I received a third payment of $30,000 from a web company in less than a month, which I put on my tablet. It’s always a great position, and his salary is usually more than mine. Start working and making money online as soon as possible.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com