Simba yaduwaza Waangola
ANGOLA; IKICHEZA pungufu karibu dakika 50 za mchezo baada ya beki Shomari Kapombe kuoneshwa kadi nyekundu dakika za mwishoni mwa kipindi cha kwanza, Simba ya Dar es Salaam imetoka sare ya bao 1-1 na Petro de Luanda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi.
Licha ya matokeo hayo Simba inaendelea kuburuza mkia kwenye kundi lake, ikiwa na pointi mbili na ni timu pekee ambayo haijashinda mchezo kwenye kundi lao.



I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com