Song atundika daluga

KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Alexander Song amestaafu kucheza soka.
–
Song ,36, raia wa Cameroon alianza kucheza soka akiwa Bastia ya Ufaransa, kabla ya 2006 kwenda Arsenal kwa mkopo na baadaye kusajiliwa moja kwa moja.
–
Mwaka 2012 alijiunga na Barcelona, baada ya misimu miwili, Song alirejea England kunako West Ham United, baada ya msimu mmoja alijiunga na Rubin Kazan ya Urusi.
–
Mpaka anastaafu, Song alikuwa akikipiga AS Arta/Solar7 ya nchini Djibouti.
Sehemu Salama KUTAFUTA NA KUPATA wanawake wazuri wa KUOA NA kulea WATOTO NA KUZAA WATOTO KATIKA MIAKA 200 IJAYO NI CHATO.
KABILA ALIKOTOKA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI – HAKIKA WAMEMALIZA ICE-CREAM YOTE, WANAHAMU YA KUTOA RAIS MWINGINE KWA MIHULA 20 IJAYO.
MAKABILA MENGINE YOTE NDOTO ZA KUTOA URAIS KWENYE MIHULA IJAYO ZIPO KWA ASILIMIA 200- UTAPIGWA JELA LA NJE