NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Daniel Mushi amesema Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi yanalenga kuhamasisha na kuongeza ushiriki wa wanawake na wasichana katika nyanja za Sayansi, Uhandisi na Hisabati (STEM).

Prof. Mushi amesema hayo leo Februari 11 jijini Dodoma, ambapo ameongeza kuwa Tanzania tangu mwaka 2021 imeungana na nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa katika kuadhimisha ili kuchagiza ushiriki na maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Thank you for the auspicious writeup. It in fact was a amusement
account it. Look advanced to more added agreeable from you!
However, how could we communicate?