Tanzania yaikanda Rwanda shule za Afrika
TIMU ya wasichana chini ya miaka 15 imeanza mashindano ya Ubingwa wa Shule za Afrika inayofanyika Uganda kwa kishindo baada ya kuikanda Rwanda kwa mabao 5-1.
Hata hivyo kwa upande wa wavulana, Tanzania imeshindwa kutamba mbele ya Burundi baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti 5-4.
WASICHANA
TanzaniaU15 ๐น๐ฟ5๏ธโฃ-1๏ธโฃ ๐ท๐ผ RwandaU15
โฝโฝHelena Hamis
โฝ Bahati Steven
โฝ Elizabeth John
โฝ Neema Thomas
WAVUALANA
Tanzania ๐น๐ฟ0๏ธโฃ-0๏ธโฃ ๐ง๐ฎBurundi
P(4-5)



