Tanzania yaikanda Rwanda shule za Afrika

TIMU ya wasichana chini ya miaka 15 imeanza mashindano ya Ubingwa wa Shule za Afrika inayofanyika Uganda kwa kishindo baada ya kuikanda Rwanda kwa mabao 5-1.

Hata hivyo kwa upande wa wavulana, Tanzania imeshindwa kutamba mbele ya Burundi baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti 5-4.

WASICHANA

TanzaniaU15 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ5๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ RwandaU15
โšฝโšฝHelena Hamis
โšฝ Bahati Steven
โšฝ Elizabeth John
โšฝ Neema Thomas

 

WAVUALANA
Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎBurundi
P(4-5)

Habari Zifananazo

Back to top button