Tetesi za usajili Ulaya

‘FOOTBALL Insider’ imeripoti Manchester City wanataka £50m ili kumuachia kiungo Bernado Silva.
Andre Onana amekataa ofa kutoka Saudia na inaonekana kama anataka kujiunga na Manchester United (90 Minutes).
Arsenal wanakaribia kumtangaza kiungo Declan Rice baada ya mazungumzo kati ya timu hiyo na West Ham kuafikiwa jana. Mazungumzo hayo ni kuhusu namna ya ulipaji wa £105m ambayo ni ada ya uhamisho ya Mwingereza huyo. Mwandishi wa habari za michezo, Fabrizio Romano ameripoti.
Arsenal pia inajiandaa kumpa mkataba mpya beki William Saliba, ambapo kwa mujibu wa Fabrizio Romano mkataba huo utaisha mwaka 2027.
Kipa wa Brighton Robert Sanchez, 25, anawindwa na Manchster United. The Mail imeripoti.
I’m remodeling $960 per day using my phone part-time. I’m presently on my fifth record for $27,000 and each one I’ve made has been from replicating and pasting photographs off the internet. This industry helps the United States generate more nd34 money every day for certain goals and tasks, and the quality earnings are just amazing. More information may be found
.
.
In this article————————————— >>> https://www.pay.hiring9.com.
I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.
To learn more, see this article———>>> https://workscoin1.pages.dev/