TISEZA kuanzisha madawati ya uwekezaji kwenye halmashauri

KAGERA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahaidi wawekezaji wazawa kuwa itaanzisha madawati ya uwekezaji kila halmashauri ili kuunganisha taasis ipamoja zinazohusiana na usajili wa maswala ya uwekezaji.

Taasisi ya TISEZA inaendelea na kampeni maalumu ya kuhamasisha uwekezaji kwa lengo la kusogeza huduma za uwekezaji hadi ngazi ya mikoa na halmshauri kuhakikisha kila Mtanzania anapata fursa ya kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa uchumi wa taifa.
Akizungumza katika kongamano la wadau wa uwekezaji wa ndani mkoani Kagera, Mwenyekiti wa Bodi ya TISEZA, Balozi Azizi Mlima, amesema taasisi hiyo imelenga kutoa elimu ya uwekezaji kwa wananchi ili kuwawezesha kupata unafuu wa mitaji, pamoja na kusimamia utekelezaji wa sheria na taratibu za uwekezaji ikiwemo kuwapunguzia adha wawekezaji kwa kuweka dawati moja la kupata huduma zote.

Ameeleza kuwa licha ya changamoto ya uelewa mdogo wa uwekezaji kwa baadhi ya Watanzania, elimu na mipango ya TISEZA imeanza kuzaa matunda kwa kuwahamasisha wananchi kuwekeza zaidi ndani ya nchi, kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje na kukuza uzalishaji wa ndani.
Alisema TISEZA inaangazia fursa mbalimbali Kanda ya ziwa ikiwemo mkoa wa Kagera ambapo Kuna fursa nyingi za uwekezaji ikiwemo,Kilimo cha mazao ya biashara kama maparachichi
Ufugaji wa kisasa,Ufugaji wa samaki
Uongezaji thamani wa mazao ya kilimo ambapo Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kumiliki hati za nyumba na viwanja, kama nyenzo muhimu ya kupata mikopo kutoka taasisi za kifedha na kuanzisha au kupanua miradi ya uwekezaji.

Wawekezaji ambao wameshiriki kongamano Hilo wamepongeza hatua muhimu za TISEZA Kuona umuhimu wa kufikisha elimuna kuweka mpango wa kufungua Madawati ya uwekezaji kwa ngazi ya halmashauri kama hatua muhimu ya kutambua changamotoo zao katika uwekezaji na kurahisisha hatua za kujisajili katika uwekezaji.



🤣🤣🤣🤣🤣Masikini waligawana viwanja kwa lengo la kukuchunguza TISEZA kama umewahi kupata hela ULAYA🤣🤣🤣🤣🤣
I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
🤣🤣🤣🤣🤣Masikini waligawana viwanja kwa lengo la kukuchunguza TISEZA kama umewahi kupata hela ULAYA kwa mzungu🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Masikini waligawana viwanja kwa lengo la kukuchunguza TISEZA kama umewahi kupata hela ULAYA🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Masikini waligawana viwanja kwa lengo la kukuchunguza TISEZA kama umewahi kupata hela ULAYA🤣🤣🤣🤣🤣
I earned $17,932 last month by working online for just 2 hours a day. This job is simple, flexible, and beginner-friendly,S1 making it accessible to everyone. It has helped me manage my finances effortlessly while focusing on my education as a full-time student.
You can click on this the website and begin
right away….www.today.earn54.com
Mansion, Returns Home To Find a Thatched House
yen.com.ghan
hour ago
A man has got netizens talking after detailing how his uncle allegedly squandered the money he sent for a building project
In a video, the man said he had given money to his uncle to build a house for him, but it ended up not being done as he expected
Ghanaians who took to the comments section of the video shared words of encouragement with the man over his ordeal
A Ghanaian man who returned from his trip to Germany has taken to social media to call out his uncle, whom he entrusted to build a house.
This comes after he visited the site of the house project, only to realise that his uncle did not use the money sent to him for its intended purpose.
I get paid more than $90 to $120 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….www.today.earn54.com