Tishio la Polio kampeni nyumba kwa nyumba
Mikoa sita yawekewa mkakati

JUMLA ya watoto milioni 3.2 walio chini ya umri wa miaka nane wanatarajiwa kupata chanjo ya Polio itakayotolewa Septemba 21 hadi 24 ,2023 baada ya mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi na moja kupata ugonjwa huo Mei 26,2023.
Mtoto huyo ambaye alitolewa taarifa kutoka Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa uchunguzi wa Maabara ulithibitisha kuwa mtoto huyu ana maambukizi ya virusi cha Polio baada ya kuoneyesha dalili za kupooza kwa ghafla.
Chanjo hiyo itatolewa katika mikoa ya Rukwa, Kagera, Kigoma, Katavi, Songwe na Mbeya.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema watashirikiana Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wadau wa Sekta ya Afya kuendesha Kampeni hiyo.
Ummy amesema kuwa maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Polio yametolewa taarifa pia katika nchi zinazopakana na Tanzania mfano Jamhuri ya Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Zambia hivyo hali hii inaongeza tishio na hatari ya maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Polio kwa nchi yetu hususani katika Mikoa inayopakana moja kwa moja na nchi hizo.
“Lengo la kampeni hii ni kuwafikia watoto waliozaliwa baada ya mwaka 2016 ili kuwakinga dhidi ya Kirusi cha Polio aina ya pili (Polio Virus Type 2) kinachoweza kusababisha ulemavu wa kudumu na Kwa Rukwa tunatarajia kufikia watoto 391,883 Kagera 729,387 Kigoma 884,477 Mbeya 614,346 Katavi 227,862 na Songwe 402,643,” Amefafanua Ummy.
Amesema katika Kampeni hiyo kutakuwa na jumla ya timu yenye jumla ya watoa huduma za afya 5,291 kwa Mikoa hiyo itakayofikiwa na zoezi hili ambapo kila timu itakuwa na watoa huduma watatu.
“Timu hizi zitakuwa zinatoa huduma ya chanjo kwa walengwa kupitia vituo vya kutolea huduma za afya, nyumba kwa nyumba, shuleni na maeneo mbalimbali ya mikusanyiko ikiwemo Nyumba za Ibada”. ameeleza Waziri Ummy.
Ametoa rai kwa wazazi na walezi kutoa ushirikiano kwa watoa huduma za afya ili kuwezesha watoto wao kuchanjwa kwa kuwa kinga ni bora kuliko tiba.
Kampuni ya Kushiriki kwenye JAMBO LOLOTE MEZANI: KARIBU TUSHIRIKI:-
1. KUONGOZA NCHI (RAIS YUPO NA VINGORA NA WALINZI)
2 KUFANYA USIZIKWE (NCHI HII NI YA AMANI NA UTULIVU)
2. KUTAFUNA CHAKULA (Mdomo wetu)
3. KUFIKIRI (AKILI YANGU)
4. KUONA (MACHO YANGU)
5. KULALA (UCHOVU WETU)
6. KUHISI (HISIA ZETU)
7. KUSIKILIZA (MASIKIO YETU)
8. KUSINZIA (USINGIZI WETU)
9. KULALAMIKA (TABU WETU)
10. KUONGEA (Mdomo wetu)
11. KUKAA KWENYE KITI (Mkalio yetu)
12. KUTAFUTA HELA (Mbinu zetu)
13. KULA MATENDO YAKE (Akifanyacho chetu)
14. KULA MANENO YAKE ( Aongeacho chetu)
15. KUONGEA PEKEYAKO (AONGEACHO chAKE)
16. KUSIKILIZA PEKEYAKO
17. KUJENGA NYUMBA
18. KUANDIKA KITABU
19. KUJIPA TABU
20. KUANDIKA
21. KUONYESHA
MAANA HAELEWI/HAELEWEKI
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
Kampuni ya Kushiriki kwenye JAMBO LOLOTE MEZANI: KARIBU TUSHIRIKI:-
1. KUONGOZA NCHI (RAIS YUPO NA VINGORA NA WALINZI)
2 KUFANYA USIZIKWE (NCHI HII NI YA AMANI NA UTULIVU)
2. KUTAFUNA CHAKULA (Mdomo wetu)
3. KUFIKIRI (AKILI YANGU)
4. KUONA (MACHO YANGU)
5. KULALA (UCHOVU WETU)
6. KUHISI (HISIA ZETU)
7. KUSIKILIZA (MASIKIO YETU)
8. KUSINZIA (USINGIZI WETU)
9. KULALAMIKA (TABU WETU)
10. KUONGEA (Mdomo wetu)
11. KUKAA KWENYE KITI (Mkalio yetu)
12. KUTAFUTA HELA (Mbinu zetu)
13. KULA MATENDO YAKE (Akifanyacho chetu)
14. KULA MANENO YAKE ( Aongeacho chetu)
15. KUONGEA PEKEYAKO (AONGEACHO chAKE)
16. KUSIKILIZA PEKEYAKO
17. KUJENGA NYUMBA
18. KUANDIKA KITABU
19. KUJIPA TABU
20. KUANDIKA
21. KUONYESHA
MAANA HAELEWI/HAELEWEKI..
mkakati ni mzuri hatutaki ugonjwa huo urudi tena
Mama mjamzito akamatwa na madawa ya kulevya kilo 33.8 za bangi, misokoto 412, kete 85 aliyokuwa ameficha kwenye Miguu iliyoshonwa kiufasaha na ilikuwa kama imevimba….
My last salary was $8750, ecom only worked 12 hours a week. My longtime neighbor kl estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up his information,copy and open it……….. http://www.works75.com