TSN yapewa tuzo mkutano Wataalamu Ununuzi na Ugavi

Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Munde akikabidhi tuzo maalumu kwa Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Soter Salema katika Mkutano wa 16 wa Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) leo Desemba 19, 2025 Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC). Tuzo hiyo imetolewa kwa TSN kutokana na kudhamini wa mkutano huo. (Picha na Veronica Mheta, Arusha).




Google provides awesome remote work opportunities, allowing me to earn $2000-$3000 weekly with just 2-4 hours of daily work. It’s been a game-changer, offering flexibility and reliable income. If you’re seeking a genuine way to earn online, don’t miss this chance. Start today and transform your life!
.
More Details For Us →→ http://www.big.income9.com