Uanzishwaji wa bima kunufaisha wananchi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema uanzishwaji wa huduma mpya ya Bima ya Takaful ni hatua muhimu katika kuimarisha upatikanaji wa huduma za bima kwa wananchi ili kuchochea maendeleo ya Shirika la bima Zanzibar(ZIC).
Dk Mwinyi ameyasema hayo leo alipozindua kampuni tanzu ya ZIC TAKAFUL ambayo ni kampuni inayotoa huduma za bima kwa kufuata misingi na sheria za dini ya Kiislamu iliyoanzishwa na Shirika la bima la Zanzibar (ZIC).
Amesema kupitia wataalamu wa Bima Takaful ni kiungo muhimu katika ukuaji wa huduma za fedha zinazofuata misingi ya Kiislamu kwa sababu huduma hiyo hutoa fursa kwa mabenki ambayo tayari yanaendeshwa kwa misingi hiyo , kuweza kutoa huduma za bima jambo halikuwezekana kabla ya uanzishwaji wa Takaful.
AidhaDk Mwinyi amewakaribisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuchangamkia fursa kuja kuwekeza katika huduma za bima za aina hii ya Takaful ili waweze kuongeza uwezo wa kukatia bima miradi mikubwa itakayochochea ukuaji wa uchumi wa nchi.
Presently You’ll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface______ https://fastinccome.blogspot.com/
Home cash earning job to earns more than $500 per day. getting paid weekly morethan $3.5k or more simply doing easy work online. no special skills requiredfor this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this byfollow details here.
.
.
Here►—————————➤ https://creatework.pages.dev/