Ummy Mwalimu: Watu 32,000 huambukizwa VVU kwa mwaka

Watu 88 huambukizwa VVU kwa siku moja

TANGA: Takwimu zinaonyesha kuwa takribani watu 32,000 hupata maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi nchini huku vijana wenye umri wa miaka 15 hadi 24 wakiwa kwenye hatari zaidi.

Hayo yamesemwa na Waziri wa afya Ummy Mwalimu Jijini Tanga wakati wa ufungaji wa kampeni ya jikubali iliyolenga kutoa elimu ya Ukimwi Kwa wanafunzi wa shule za sekondari kwenye mikoa minne nchini .

Amesema kuwa takwimu hizo zinaonyesha kuwa kwa siku moja takribani 88 hupata maambukizi mapya ya ugonjwa wa ukimwi hapa nchini.

“Kilichoshtua zaidi inaonyesha katika vijana 100 wenye umri wa miaka kati ya 15 hadi 24 vijana 67 wanapata maambukizi mpya hivyo kama Wizara tukaona tuje na kampeni hii Ili kuwasaidia vijana waweze kujilinda dhidi ya ugonjwa huo”amesema Waziri Ummy.

Nae Mratibu wa Programu ya Jikubali Catherine Johakim amesema kuwa kampeni hiyo imefanikiwa kuwafikia vijana waliopo mashuleni 10,2000 walioko kwenye Halmashauri 17 zilizopo kwenye mikoa minne hapa nchini.

“Wanafunzi hao wamepatiwa elimu ya kujiepusha na mimba za utotoni sambamba na magonjwa ya ngono ikiwemo maambukizi ya virus vya ukimwi”amesema Catherine.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
yojisob442
18 days ago

I’am making over $15k a month working online. I kept seeing how some people are able to earn a lot of money online, so I decided to look into it. I had luck to stumble upon something that totally changed my life. After 2 months of searching, last month I received a paycheck for $15376 for just working on the laptop for a few hours weekly. I was amazed how easy it was after I tried it copy below web…www.work.profitguru7.com

Antoinetteopez
Antoinetteopez
18 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 18 days ago by Antoinetteopez
Angila
Angila
18 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions……
.
.
.
On This Website……………..> > W­w­w.S­m­a­r­t­c­a­r­e­e­r­1.c­o­m

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x