Vijana 260 kujifunza kilimo Israel

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Israel wameendelea na jitihada za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya kilimo, ambapo takribani vijana 260 wanapelekwa nchini Israel kupata mafunzo ya kilimo.
Lengo kubwa la kuwapeleka vijana hao nchini Israel ni pale watakaporudi waweze kujiajiri na kufanikiwa kupata fursa ya kuajiriwa katika sekta ya kilimo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga vijana wanaotarajiwa kwenda nchini Israel kuhudhuria mafunzo ya kilimo cha kisasa, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu amesema wanafunzi hao watakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo kwa vitendo.
Amesema fursa hiyo imepatilana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Israel ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa ajili ya kujenga uwezo wa vijana kwenye sekta ya kilimo
“Tangu mwaka 2019 tumekuwa tukipeleka vijana wa kitanzania nje ya nchi kwaajili ya kupata mafunzo ya kilimo nchini Israel, wanafunzi hao wanakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo ya vitendo”
“Serikali chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Kilimo tuna mradi wetu wa BBT, hivyo vijana hawa tuna wa encourage wakirudi wawe walimu kwa ujuzi walioupata waweze kujiajiri kwenye sekta ya kilimo lakini pia waweze kuajiriwa kwa urahisi,”amesema Prof. Katundu
Alisema wanafunzi hao wanapokuwa nchini Israel ni fursa nzuri kwao kwani mbali na kupata mafunzo ya utaalamu wa kisasa, lakini pia wanakua wanafanya kazi na kulipwa.
Prof. Katundu amewasihi vijana hao kuitumia elimu wanayoipata nchini humo, ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuwa chachu katika jamii na Taifa kwa ujumla.
Kwa upande wake Naibu Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam anayeshughulikia mambo ya utafiti Prof. Nelson Boniface amesema fursa hizi zinazotolewa na BBT, ambayo ni mafunzo kwa vitendo yako sawasawa na matakwa ya serikali, ambapo wanataka vijana wapate umahiri pale wanapokuwa wamejifunza darasani waweze kutumia maarifa yao katika kuzalisha.
Pia amesema katika programu hiyo hadi sasa wameshiriki kwa miaka miwili na kwa mwaka huu wanapeleka vijana 32, hivyo kama chuo ushiriki wao unaanza kuchukua kasi kwa kuiunga mkono serikali na kuwa wanufaika katika mradi huo.
“Katika mradi huu wa kilimo hii ni fursa kubwa sana, katika chuo chetu tunao vijana takribani 1070, ambao wanasoma masomo ya kilimo, hivyo katika ushiriki wetu vijana wakienda kwenye mafunzo kwa vitendo wakirudi hapa tunategemea watakuwa na teknolojia ambazo zitakuwa ni za kisasa na wataweza kujiajiri, kuajiriwa na kuleta usalama wa chakula katika nchi yetu” amesema Prof. Boniface
Naye Rais wa Serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), Hamisi Seif, ameishukuru serikali kwa kuona ipo haja ya kuwekeza na kuthamini vijana kwa kuwawezesha kupitia mradi huo ambao vijana wengi wanaenda nchini Israel kujifunza kuhusu Kilimo.
“Hii ni fursa kwa vijana ambapo vijana wataweza kupata ujuzi ambao utawasaidia kujiajiri na kuwa na mazingira mazuri ya kuajirika pia kuongeza asilimia kubwa ya vijana ambao wanaweza wakawa nguvu kazi katika Taifa na kupunguza namba ya vijana ambao si wafanyakazi katika nchi yetu”
Mwanafunzi kutoka chuo Cha Kilimo na Mifugo Dodoma, Albogasti Mbeya amesema atayatumia mafunzo hayo kama chachu ya kuhamasisha vijana wenzake nchini kubuni njia mbalimbali ili kufanya kilimo bora kwa kutumia teknolojia za kisasa, ili kuondokana na kilimo Cha kawaida.
Mhitimu wa chuo cha Kilacha Kilimo na Mifugo, Angel Salagija amewataka vijana wenzake hasa wanawake kuchangamkia fursa za kilimo ili kujikwamua kiuchumi.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO
KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.
Rasimu Na. 1
WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20
MUHTASARI WA WARAKA
KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).
WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.
MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.
CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.
MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot
MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.
USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala
RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.
W-M A.J.M.K.
XXXXXXXXXXX
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
XXXXXXX
Rasimu Na. 1..
WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20
MUHTASARI WA WARAKA
KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).
WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.
MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.
CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.
MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot
MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.
USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala
RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.
W-M A.J.M.K.
XXXXXXXXXXX
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
XXXXXXX