Vijana 5,746 waanza mafunzo uanagenzi

SERIKALI imesema itaendelea kuratibu na kuimarisha sera, sheria na miongozo inayosimamia programu za mafunzo ya uanagenzi, pamoja na kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa nafasi za mafunzo kwa vitendo kwa wanagenzi nchini.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu), Deus Sangu amesema hayo leo Machi 3, 2026 katika Chuo cha Ufundi Stadi cha Don Bosco jijini Dodoma wakati akifungua Awamu ya Nane ya Mafunzo ya Stadi za Kazi kwa Njia ya Uanagenzi kwa vijana 5,746 waliodahiliwa katika vyuo 46 nchini kwa mwaka wa masomo 2025/26.
Amesema utekelezaji wa programu hiyo umewezesha jumla ya wanufaika 93,495 hadi kufikia Februari 2026. Waziri Sangu amesema mafunzo hayo yanachangia kwa kiasi kikubwa kuwapa vijana uzoefu wa kazi kwa nadharia na vitendo, kupunguza pengo la ujuzi kati ya mafunzo ya kitaaluma na mahitaji ya waajiri, pamoja na kuongeza fursa za ajira kwa vijana kuajiriwa au kujiajiri.

“Hii ni dhamira ya dhati ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika kujenga nguvukazi yenye ushindani na tija kwa maendeleo endelevu ya Taifa,” amesema.
Aidha, amesisitiza kuwa kuelekea Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Tanzania inahitaji nguvukazi yenye ujuzi, weledi na uwezo wa kutumia teknolojia ili kuhimili ushindani wa kikanda na kimataifa. Amesema Serikali itaendelea kuboresha sera, sheria na mifumo ya mafunzo ili kuongeza fursa za ajira kwa vijana.
Awali, akitoa salamu za wananchi wa Dodoma, Mkuu wa Mkoa huo Rosemary Senyamule ameipongeza Serikali kwa kuendelea kutenga bajeti maalum kwa ajili ya mafunzo ya uanagenzi, akisema hatua hiyo inaonyesha uwekezaji katika rasilimali muhimu ya Taifa, hususan vijana. SOMA: Vijana Kagera wapewa elimu mikopo ya halmashauri
Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, amesema Serikali kupitia ofisi hiyo inatekeleza Mafunzo ya Uanagenzi kupitia Programu ya Taifa ya kukuza ujuzi nchini tangu mwaka wa fedha 2016/17. Amesema lengo la programu hiyo ni kukuza ujuzi wa nguvukazi iliyopo katika soko la ajira ili kuongeza tija katika uzalishaji wa bidhaa na utoaji wa huduma.
Naye Mkuu wa Chuo cha Don Bosco Dodoma, Mhandisi Dkt. Justine Mulebya, ameishukuru Serikali kwa kukipatia chuo hicho wanafunzi 650 na kuiomba iwezeshe wahitimu wa mafunzo ya uanagenzi kwa vifaa ili waweze kujiajiri na pia kuajiri vijana wengine baada ya kuhitimu.




I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….. https://www.payathome9.place
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do.
\
\
…. https://www.payathome9.place
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: WAHARIRI 332,545 WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi za kazi **332,545 za Wahariri** kwa ajili ya kuhariri kitabu chenye kichwa cha habari:
*“Kuua Chama cha Siasa nchini Tanzania (KILA MTU ANAJUA KITAWALE MILELE) – Kama walivyoua Viwanda vya Serikali ya Awamu ya Kwanza”*
### Madhumuni ya Ajira
Kampuni inalenga kuunda jopo kubwa la wahariri kwa ajili ya kufanya uchambuzi, mapitio na maboresho ya kitaalamu ya muswada wa kitabu kabla ya kuchapishwa rasmi.
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri sarufi, tahajia na matumizi sahihi ya lugha.
* Kuboresha mtiririko wa hoja na mpangilio wa sura.
* Kufanya uhakiki wa kitaalamu (proofreading na copy-editing).
* Kutoa maoni ya maboresho bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa ushirikiano ndani ya timu pana ya wahariri.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na ujuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.
* Elimu au uzoefu katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Sayansi ya Siasa au taaluma zinazohusiana itakuwa nyongeza.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi katika timu kubwa.
* Awe mwadilifu, makini na mwenye kuheshimu muda wa kazi.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Maelezo ya uzoefu au mfano wa kazi (kama ipo)
Maombi yawasilishwe katika ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni ndani ya siku 21 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa stahiki.*