Vita ya Pacome, Feisal, Ahoua yaahirishwa

DAR ES SALAAM; TUZO za TFF msimu wa mwaka 2024/25 zilizokuwa zifanyike Desemba 5, mwaka huu zimeahirishwa.
Taarifa iliyosainiwa na Ofisa Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cliford Ndimbo imeeleza kuwa uamuzi huo unatokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao.

Ijumaa iliyopita TFF ilitoa orodha ya wanamichezo wa makundi mbalimbali watakaowania tuzo hizo. Makundi hayo ni Ligi Kuu Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho, Ligi Kuu ya Wanawake, Tuzo za Utawala na Tuzo za Ligi nyingine.

Kwa upande wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora ni Dickson Job, Pacome Zouzoua na Maxi Nzengeli wote kutoka Yanga, Jean Ahoua (Simba) na Feisal Salum (Azam).




Habari Tanzania is a must have android app
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Google provides awesome remote work opportunities, allowing me to earn $2000-$3000 weekly with just 2-4 hours of daily work. It’s been a game-changer, offering flexibility and reliable income. If you’re seeking a genuine way to earn online, don’t miss this chance. Start today and transform your life!
.
More Details For Us →→ http://www.big.income9.com