Wananchi Dar kupimwa magonjwa ya moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete na Hospitali ya Dar Group wanatarajia kufanya kambi maalum ya upimaji na matibabu ya magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani –
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano, Anna Nkinda imesema upimaji huo utafanyika kwa watoto na watu wazima kuanzia Septemba 02, 2023 hadi Septemba 03,2023 kuanznia saa mbili asubuhi hadi saa 10 alasiri jioni katika Hospitali ya Dar group iliyopo Temeke .
“Aidha katika kambi hii kutakuwa na wataalamu wa lishe ambao watatoa elimu ya lishe bora, ambayo itawapa wananchi uelewa na kufuata mtindo bora wa maisha na kuepukana na magonjwa yasiyoambukizwa yakiwemo ya moyo, ambayo yanaweza kuepukika kwa kufuata ushauri wa kitaalamu,”ameeleza Nkinda.
Amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kujua kama wana matatizo ya moyo, ili kuanza matibabu mapema kwa atakayegundulika kuwa na magonjwa na kusisitiza kuwa huduma hiyo itakuwa ya kuchangia gharama ya matibabu.
“Kwa taarifa zaidi wasiliana kwa simu namba 0754578190 ya Dk Tulizo Shemu,0684345921, Flaviana Masegesa na 0674179036 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group,” amesema.
I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://Fastinccome.blogspot.Com/
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
I make 100USD /hr while I’m traveling the world. Last week I worked on my laptop in Rome, Monti Carlo and finally Paris… zx This week I’m back in the USA. All I do are easy tasks from this one cool site.
Check it out on this site….> http://www.SmartCash1.com
Making an additional $15,000 per month by performing simple copy-and-paste online work from home. With this easy at-home job, I made $18,000. Nowadays, anyone may simply make extra money online.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI
Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?
Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?
Au UNGANA NAO AU/ TOFAUTISHA TAKA NA TAKATAKA