‘Wananchi wamechangia mabadiliko viongozi Mtwara’

MTWARA; SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kusini, imesema panguapangua ya baadhi ya viongozi mkoani Mtwara imesababishwa na wananchi wenyewe.

Katibu Msaidizi wa Sekretarieti hiyo Kanda ya Kusini, Philoteus Manula, amesema hayo wakati wa hafla ya kuapisha waku wa Wilaya za Mtwara na Nanyumbu mkoani Mtwara.

Amesema wananchi wanapeleka taarifa kwa sekretarieti hiyo kuhusu mienendo na tabia za viongozi wa umma juu ya utekelezaji wa majukumu, ambayo wamepewa na serikali kwa mujibu wa sheria.

“Panguapangua ya Mtwara imesababishwa na wananchi wenyewe, wanatuletea taarifa tunafuatilia na kuangalia hali halisi kitu kinachofanyika na hao viongozi,” amesema.

Manula amesema kuwa sekretarieti hiyo imekuwa ikifuatilia tabia ya viongozi na wakiona kwamba haendani na yale ambayo wameelekezwa kwa mujibu sheria na maelekezo ya Rais ambayo anayatoa kwa viongozi hao wanachukua hatua ya kupeleka taarifa kwenye mamlaka.

Panguapangua ya baadhi ya viongozi akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa, ilitokea baada ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan Kufanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani Mtwara.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MarissaCorcoran
MarissaCorcoran
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by MarissaCorcoran
GloriaGale
GloriaGale
2 months ago

The first check I got was for $13,000. I feel so inspired even though I haven’t really made much progress up till now. I’m looking forward to the episode of the next week with anticipation now that I know I need to work harder.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?….

Capture1.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x