Wasira awaonya walioanza mbio za Urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akisema muda wa kufanya hivyo bado haujawadia.

Wasira amesisitiza kuwa kuanza mapema harakati kunakiuka kanuni, miongozo na utaratibu wa Chama. “Kuanzisha harakati za uongozi kabla ya wakati kunaweza kugawa Chama badala ya kuimarisha umoja wake, hivyo ni jambo linalopaswa kukemewa,” alisema Wasira.

Kauli hiyo ameitoa mjini Bunda, Mkoa wa Mara, alipokuwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la ofisi za CCM Wilaya ya Bunda, ambazo zilichomwa moto katika vurugu za Oktoba 29, 2025. Ameongeza kuwa ndani ya Chama kuna kundi la wanachama ambao hawana kazi za msingi za chama zaidi ya kujihusisha na makundi ya kisiasa.

Wasira amesema hivi sasa kuna baadhi ya wanachama wameanza kujipanga kuanzia ngazi za kata jambo ambalo linaweza kusababisha mgawanyiko ndani ya CCM kwani kila mmoja anataka wafuasi wake badala ya kuimarisha umoja.

Wasira amehoji uhalali wa baadhi ya wanachama kuanza kujitangaza mapema kuwania urais wa 2030, akisema hakuna anayeweza kujihakikishia uwepo wake hadi wakati huo. “Unazungumziaje urais wa 2030 leo, wakati hata hujui kama utakuwepo? Hiyo ni kama kumjaribu Mungu. Wakati huu tunapaswa kujikita kwenye kazi za kujenga Chama na nchi,” alisisitiza.

Aidha, amewaonya baadhi ya watu kutumia fedha kushawishi wanachama maskini kuungwa mkono akieleza kuwa hali hiyo ni hatari na inaweza kuharibu maadili ya Chama. SOMA: ‘Muwe mabalozi wa amani’

 

Habari Zifananazo

6 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com

  2. I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
    .
    This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com

  3. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do…..  
    ………………………………………………
    ………………………………………………
    …………………….https://www.work27.info

  4. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    This is what I do….
    ………………………………………………………………..  https://www.work27.info

  5. JOIN US The finest part-time income opportunity to work on mobile or laptop earn more than $300💵 every day. In the preceding month, I earned $11,683💵 by working 3 or 4 hours every day online.

    Simply visit this website for further information………………… https://Www.PayAtHome1.Com/

  6. Google paid $200 a hour on the internet..my close relative has been without labor for nine months and the earlier month her compensation check was $51005 by working at home for 10 hours a day….. E­v­e­r­y­b­o­d­y m­u­s­t t­r­y t­h­i­s j­o­b n­o­w b­y j­u­s­t u­s­e ­t­h­i­s

    GOOD LUCK.:)

    Here is I started_____ ⫸w­­w­­w­­.­­w­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­o­­n­­l­­i­­n­­e

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button