Watanzania watakiwa kupunguza unywaji wa Pombe

DAR ES SALAAM: Watanzania wametakiwa kupunguza unywaji wa pombe ili kuepuka magonjwa yasiyoambukiza.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye amesema sababu kubwa ya kuongezeka kwa magonjwa hayo ni matumizi makubwa ya unywaji pombe.

“Takwimu zinaonesha Tanzania ni nchi ya tatu kwa matumizi ya pombe barani Afrika ikiongozwa na Uganda.”Amesema na kuongeza

“Hatusemi msinywe pombe, lakini tunasema mpunguze unywaji wa pombe kupita kiasi, takwimu za Shirika la Afya Duniani zinaonesha Tanzania Watu kuanzia umri wa miaka 15 na kuendelea kwa mwaka tunakunywa Lita 10.4 za pombe.” Amesema na kuongeza

“Kiasi hichi cha pombe kinachonywewa nchi nzima, kikagawanywa kwa idadi ya Watanzania miaka 15 na kuendelea, ni sawasawa tunatandika kwa mwezi Lita 1 kwa mwaka Lita 10.4, tupo nafasi ya tatu Afrika, baada ya Uganda anafuata Shelisheli halafu sisi.

“Prof. Mohamed Janabi (Mkurugenzi wa Muhimbili) anasemaga bia moja mbili ukimaliza unaangalia mpira wako unaondoka, sio uweke mzigo wa bia hapana,”amesema.

Ummy ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati akizindua kampeni ya kuelimisha jamii juu ya magonjwa yasiyoambukiza ambapo katika hatua nyingine amesema ugonjwa wa Saratani umeongezeka kwa kasi mwaka 2020 ambapo umeonesha vifo vipya zaidi ya 40,000 ukiongozwa na Saratani ya Mlango wa Kizazi.

“Tusipochukua tahadhari ugonjwa wa saratani unaweza kufikia vifo milioni moja ifikapo 2050, Saratani inachangia kwa asilimia 33 ya vifo vyote nchini Tanzania,”ametahadharisha Ummy.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY
MONEY
2 months ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg

Capture.JPG
Bertha
Bertha
Reply to  MONEY
2 months ago

I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 2 months ago by Bertha
MONEY
MONEY
2 months ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg””

Capture.JPG
MONEY
MONEY
2 months ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg..

Capture.JPG
money
money
2 months ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA SAYARI YA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA – KUNA BARAFU SANA

Capture.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x