Yanga, Al-Ahly ngoma ngumu

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kati ya Yanga SC na Al-Ahly umemalizika Uwanja wa Mkapa kwa sare ya bao 1-1.

Bao Al-Ahly limefungwa na Percy Tau na Yanga limefungwa na Pacome Zouzoua.

Mpaka mapumziko, mchezo huo ulikuwa sare ya bila kufungana.

Advertisement

Kwa matokeo hayo Yanga ina pointi 1, Al-Ahly ina pointi 4 katika kundi D

1 comments

Comments are closed.

/* */