Zitto atahadharisha utitiri kampuni za hisa serikalini

ARUSHA: KIONGOZI wa Chama cha ACT – Wazalendo Zitto Kabwe ametahadharisha kasi ya baadhi ya Wizara kuunda kampuni kusimamia hisa za serikali katika kampuni binafsi akishauri utaratibu mpya wa kuanzishwa kampuni moja itakayo simamia hisa zote za serikali katika kampuni binafsi.
Serikali ina hisa kwenye kampuni binafsi 37 zenye thamani ya Sh trilioni 32. Kwa mujibu wa Zitto serikali imekua ikianzisha kampuni tanzu kisimamia hisa pale inapokuwa na umiliki mdogo kwenye kampuni binafsi.
Akitolea mfano Wizara ya Madini, Zitto amesema: “huko sasa kuna Twiga Minerals, Tembo na punde tutasiki Swala… Serikali ianzishe kampuni itakayo miliki hisa zote kwa niaba ya serikali katika taasisi binafsi.”
Zitto amesema Kampuni hiyo ikianzishwa iwe chini ya Msajili wa Hazina. Amesema utaratibu kama huo umefanyika katika nchini kama Malaysia na umeonesha ufanis mkubwa.
Hata hivyo amesema kampuni hiyo ikianzishwa inaweza sajiliwa katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE).
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. a12 My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:)
For more info visit…………..>> http://www.SmartCash1.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://webonline76.blogspot.com/
Work At Home For USA My buddy’s makes $164/hr on the computer. She has been unemployed for eight months but last month her but pay check was $26,000 just working on the computer for a few hours.
.
.
Detail Here——————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Orodha ya mademu wanaotakiwa kuingia kwenye ka Game ka zali la Mtaliii
• Wabunge wa viti Maalumu.
• Watumishi wa umma wanawake na viongozi wa Serikali.
• Watumishi wanawake wa Banki za CRDB,NMB, AZANIA, DCB.
Tupo huku tunaaminishwa kuwa kuna kazi mbaya duniani ipo siku tutawapata kirahisi kabisa.- KUWA MKARI SANA
Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
· Mgodi wa Dhahabu
· Mgodi wa Almas
· Mgodi wa Gas
· Mgodi wa Uranium
· Mgodi wa Mafuta
· Mgodi wa Makaa ya mawe
· Mgodi wa Tanzanite
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023
REJECTION CITY (KUJENGWA KIMAZICHANA)
“JENGA INDIRECT KUPITIA VAT”
NUNUA BIDHAA (BAR, SIGARA, NAULI ZA DARADARA, MAANDAZI, MKATE, NYOA NYWELE, PAKA KUCHA, NUNUA MIWANI, NUNUA NGUO) TUJENGE.. TUTAPATA FAIDA NA KUJENGA JIJI LETU LA (REJECTION CITY VS MAGUFULI CITY); “
MADARAKA CITY VS NGUVU CITY)