Zungu ndiye Spika wa Bunge

DODOMA : BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemchagua Mussa Azzan Zungu kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 378 kati ya kura 383 zilizopigwa leo mjini Dodoma.

Matokeo hayo yamethibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi mara baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika. Wagombea wengine walioshiriki katika kinyang’anyiro hicho ni Chrisant Ndege wa Chama cha Democratic Party (DP), Veronica Charles wa NRA, na Amin Alfred wa ADC, ambao kila mmoja alipata kura sifuri.

Aidha, Anita Halfan Mgaya wa NLD na Ndonge Said Ndonge walipata kura moja kila mmoja, huku kura tatu zikiharibika. Kwa ushindi huo, Zungu anachukua rasmi nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kijacho cha uongozi. SOMA: Ndege Aahidi Bunge la Maendeleo

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→ http://www.job40.media

  2. I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
    .
    HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com

  3. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button