Year: 2026

Bunge

Bunge Marathon msimu wa 3, kuja kivingine!

DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Bunge Marathon na Bunge Bonanza, Festo Sanga, ametangaza kuwa mbio za Bunge Marathon msimu wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Takukuru Rafiki yafanikisha ujenzi zahanati Kabare

KIGOMA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma imesema mpango wa taasisi hiyo kusikiliza kero za…

Soma Zaidi »
Jamii

Watumishi Kwimba wapewa elimu matumizi gesi ya kupikia

WATUMISHI  wa idara ya afya Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wamepatiwa mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi vyuoni wajadili bunifu kusaidia jamii

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Youth Innovation Foundation imewakutanisha wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali kutokea Dar es salaam wanaosomea kada Sayansi…

Soma Zaidi »
Infographics

Miriam Odemba atunukiwa tuzo ya heshima Temeke

DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO nguli wa Kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Ufaransa, Miriam Odemba, ametunukiwa tuzo ya heshima na Uongozi wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Masauni ahimiza wajibu kuulinda muungano

ZANZIBAR: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Hamad Yussuf Masauni, amewaasa Wajumbe wa Baraza la…

Soma Zaidi »
Afya

Bunifu MUHAS zaleta matokeo chanya sokoni

DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kupiga hatua katika kujenga uchumi unaotegemea maarifa na ubunifu, kupitia sera na mikakati mbalimbali, huku…

Soma Zaidi »
Jamii

Chalamila asisitiza amani, umoja kwa wakazi wa Dar

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wakazi wa mkoa huo kuendeleza umoja na…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Helios yatoa vifaa vya mil 30/- kukuza TEHAMA shuleni

NYASA, RUVUMA: Wakati taifa likichukua hatua mbalimbali kukuza uchumi wa kidijiti, Kampuni ya Helios Towers imetoa vifaa vya kisasa vya…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Waislamu wasaidieni wenye uhitaji

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuwasaidia watu…

Soma Zaidi »
Back to top button