Antipas Kavishe

Michezo na Burudani

Yanga, Mamelodi wote wana watu, kazi ipo

DAR ES SALAAM: Wawakilishi wengine wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga, leo wanatupa karata yao katika robo fainali…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Hii hapa sababu ya kipigo cha Simba

DAR ES SALAAM: Kocha wa Simba Abdelhak Benchikha, ameeleza kuwa kinachomgharimu ndani ya timu hiyo ni kukosa namba kubwa ya…

Soma Zaidi »
Jamii

RC abaini ekari hewa 170,000 za Pamba

BARIADI, Simiyu: MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amesema wamebaini uwepo wa zaidi ya ekari hewa 170,000 za…

Soma Zaidi »
Afya

Watano wasimamishwa kazi kifo cha mjamzito Tanga

TANGA:Mkuu wa Wilaya ya Tanga, James Kaji amemuagiza Mkurungenzi wa Jiji la Tanga Dk. Frederick Sagamiko kuwasimamisha kazi watumishi wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Msigwa: Simba waliupiga mwingi dhidi ya Al Ahly

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema Simba walipoteza mchezo wa jana dhidi…

Soma Zaidi »
Biashara

Mpogolo: ‘Machinga’ zingatieni maelekezo

DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka wafanyabiashara wadogo ‘Machinga’ waliopo Kariakoo kuzingatia maelekezo yanayotolewa na…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kroos aongeza mwaka mmoja Real Madrid

HISPANIA, Madrid: KIUNGO wa Real Madrid, Toni Kroos, ameamua kusalia katika klabu hiyo kwa msimu mmoja zaidi. Mtaalamu wa masuala…

Soma Zaidi »
Jamii

Dar kujinafasi riadha Mei 25

DAR ES SALAAM: Mashindano maalum ya riadha yanayojulikana kama ‘Run for Binti’ msimu wa tatu yanatarajia kufanyika Mei 25 mwaka…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

‘Debora Mwenda ni namba nyingine’

DAR ES SALAAM: Bondia Debora Mwenda kutoka Fire Stone Gym ametamba kumtwanga mapema mpinzani wake Samira Kasimu kwenye pambano la…

Soma Zaidi »
Jamii

Madiwani wataka jeshi lishughulike na’Kamchape’

KIGOMA: Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameiomba serikali kulikabidhi jeshi la polisi kazi ya kupambana na…

Soma Zaidi »
Back to top button