Benedict Msungu

Featured

Gwajima ataka NGOs kushirikiana na Serikali utekelezaji Dira 2050

DODOMA: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amezitaka asasi zisizo ya kiserikali (NGOs)…

Soma Zaidi »
Featured

Prof Kitila: Dira 2050 kufanikisha maendeleo endelevu

New York, Marekani: Tanzania imesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 utaongeza kasi ya kufikiwa kwa Malengo ya…

Soma Zaidi »
Afya

Foton Africa yatoa mil 30/- kusaidia huduma za kibobezi BMH

Unguja. Kampuni ya Floton Africa imetoa msaada wa Sh30 milioni kwa ajili ya kusaidia uanzishwaji wa Kituo Maalumu cha Upandikizaji…

Soma Zaidi »
Featured

Balozi Kairuki, Spika Lindsay wafanya mazungumzo

LONDON, UINGEREZA: Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Uingereza, Sir…

Soma Zaidi »
Gesi

Mradi wa uchorongaji visima gesi asilia Mtwara unavyonufaisha wazawa

MTWARA: Zaidi ya Watanzania 320 wameajiriwa katika nafasi mbalimbali  huku wengine wakinufaika kupitia zabuni zenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni…

Soma Zaidi »
Dodoma

Wizara ya Kilimo, taasisi zashiriki maonesho Siku ya Mazingira Duniani

DODOMA: Wizara ya Kilimo pamoja na taasisi zake zimeendelea kushiriki Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyoanza jijini Dodoma mnamo…

Soma Zaidi »
Afya

PURA yaunga mkono mapambano dhidi ya Ukimwi, MSY

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeahidi kuwa kuwa itandelea kuunga mkono juhudi za…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Zanzibar kuanzisha mfumo wa mita kwenye taxi

Unguja. Zanzibar imeanza mchakato wa kuboresha sekta ya usafiri wa teksi kupitia mpango wa kuanzisha mfumo wa kidijitali wa malipo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mgahawa wa Kijapani unavyonogesha utalii Zanzibar

Zanzibar. Sekta ya ukarimu na utalii visiwani Zanzibar imepata msukumo mkubwa wa mtindo wa maisha  baada ya uliojikita kuandaa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Pemba ‘mguu sawa’ ujio wa hoteli mpya ya kifahari

Pemba. Uzinduzi wa NH Collection Pemba Wellness Resort utakaofanyika hivi karibuni unatarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ndogo ya utalii wa…

Soma Zaidi »
Back to top button