Mwandishi Wetu

Amerika

Wanaanga Artemis II watua salama kutoka mwezini

MAREKANI — Wanaanga wanne wa ujumbe wa Artemis II wametua salama katika Bahari ya Pasifiki baada ya kukamilisha safari ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Chalamila awapatanisha waimbaji wa Injili

DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewapatanisha waimbaji wa muziki wa Injili Upendo…

Soma Zaidi »
Jamii

Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kutunukiwa shahada ya heshima na Chuo Kikuu cha Nasarawa nchini Nigeria kupitia njia…

Soma Zaidi »
Featured

Tume ya uchunguzi yaongezewa siku 21

DODOMA – Mamlaka ya Uteuzi nchini Tanzania imeongeza muda wa siku 21 kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa…

Soma Zaidi »
Fasihi

Filamu ya ICC kuzinduliwa Dar, yazua mjadala wa haki ya kimataifa

DAR ES SALAAM — Onyesho la filamu “Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu: Haki ya Kimataifa Bila Universali?” linatarajiwa kufanyika Machi…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia: Taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri

DAR ES SALAAM — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri…

Soma Zaidi »
Featured

Waziri Lukuvi afariki dunia

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

WGC kuisaidia Tanzania kuongeza thamani ya madini

DAR ES SALAAM: Wizara ya Madini imefanya mazungumzo ya kimkakati na World Gold Council (WGC) kwa lengo la kujadili namna…

Soma Zaidi »
Tanzania

AfDB yaipiga jeki TADB usimamizi wa vihatarishi vya mabadiliko ya tabianchi

DAR ES SALAAM — Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeunga mkono Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika…

Soma Zaidi »
Featured

CCM yakusanya 86.31bn/- siku ya kwanza ya harambee

DAR ES SALAAM — Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekusanya zaidi ya Sh bilioni 86.31 katika siku ya kwanza ya kampeni…

Soma Zaidi »
Back to top button