Afya

Majaliwa ataka tafiti za tija mabadiliko sekta ya afya

DAR ES SALAAM: SERIKALI imetawaka watafiti na watunga sera kuwekeza katika tafiti zenye tija ili matokeo yake yatumike kutunga sera…

Soma Zaidi »

Bil 1/- zanunua vifaa tiba Handeni

TANGA: SERIKALI imewekeza ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa vya Sh bilioni 1 kwenye sekta ya afya katika Halmashauri ya…

Soma Zaidi »

Huduma za kibingwa zafika kanda ya kati

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imepeleka huduma za kibingwa na bobezi kwa wananchi…

Soma Zaidi »

Utafiti: Ukatili kwa watoto umepungua

DAR ES SALAAM: MTOKEO ya Utafiti mpya wa kitaifa wa ukatili dhidi ya watoto na vijana mwaka 2024 yanaonesha kuwa…

Soma Zaidi »

Mhagama ataka huduma MOI iwafikie wengi

DAR ES SALAAM: Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amezindua Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo…

Soma Zaidi »

Zahanati ya Kilulu yafikishiwa jengo mama na mtoto

TANGA: WANANCHI wa kijiji cha Kilulu Duga kilichopo Kata ya Sigaya Wilaya ya Mkinga wameepushwa na kutembea umbali wa kilometa…

Soma Zaidi »

Jenista ashitukia mfumo Tehama hospitali ya rufaa

WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amemuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Seif Shekalage kutuma timu ya wataalamu wa Teknolojia…

Soma Zaidi »

Waziri ataka ulinzi miundombinu ya hospitali

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amezitaka hospitali zote nchini kuwa na utamaduni wa kusimamia na kulinda miundombinu…

Soma Zaidi »

Serikali sasa yamiliki kiwanda cha TBPL asilimia 100

DODOMA; WAZIRI wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema Serikali sasa inamiliki kwa asilimia 100 kiwanda cha Teknolojia ya…

Soma Zaidi »

Apotheker yaiwezesha CDH kuboresha sekta ya afya kupitia Tehama

AHAI ni asasi iliyoanzishwa 2021 kwa lengo la kuboresha afya na ustawi wa jamii kupitia utafiti, mafunzo na ushauri.

Soma Zaidi »
Back to top button