Afya

Watoto 50 kufanyiwa upasuaji bure MOI

DAR ES SALAAM; WATOTO 50 wenye tatizo la Vichwa vikubwa na Mgongo wazi watafanyiwa upasuaji bure katika kambi maalum itakayofanyika…

Soma Zaidi »

Madaktari bingwa 18 wawasili Tanganyika

KATAVI: Timu ya Madaktari bingwa 18 wakiwemo wauguzi na wataalam wa usingizi kutoka nchini Marekani wamewasili leo Aprili 6 mkoani…

Soma Zaidi »

MSD yataja hatua saba kuimarika upatikanaji bidhaa za afya

DODOMA: MKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya dawa (MSD)Mavere Tukai, ametaja hatua saba wanazoendelea kuchukuwa ili kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za…

Soma Zaidi »

Vituo huduma ya saratani kwa mionzi kuongezwa

DODOMA; Waziri wa Afya  Ummy Mwalimu amesema serikali ipo katika mpango wa kuongeza vituo vingine  vinne  vitakavyoweza kutoa huduma ya…

Soma Zaidi »

Upasuaji JKCI waokoa Sh milioni 70

DAR ES SALAAM; KWA mara ya kwanza nchini Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inawafanyia upasuaji kwa njia ya…

Soma Zaidi »

Sarafu yakwama siku sita kooni kwa mtoto

DODOMA: MTOTO wa miaka miwili ametolewa sarafu iliyokuwa imekwama kooni kwa muda wa siku sita katika Hospitali ya Benjamini Mkapa…

Soma Zaidi »

Watano wasimamishwa kazi kifo cha mjamzito Tanga

TANGA:Mkuu wa Wilaya ya Tanga, James Kaji amemuagiza Mkurungenzi wa Jiji la Tanga Dk. Frederick Sagamiko kuwasimamisha kazi watumishi wa…

Soma Zaidi »

Ummy: Mataifa ya nje yavutiwa kutibiwa nchini

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema sekta ya afya imekua kwa kiwango kikubwa ndani ya miaka miaka…

Soma Zaidi »

KIKWETE :Mapambano ya malaria yako karibu na moyo wangu

DAR ES SALAAM: RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete amesema suala la kupambana na malaria ni…

Soma Zaidi »

Chanjo ya malaria mbioni kutumika nchini

DAR ES SALAAM: TANZANIA ipo mbioni kuanza matumizi ya chanjo ya malaria kwa watoto walioko chini ya umri wa miaka…

Soma Zaidi »
Back to top button