Afya

Ummy atoa neno likizo, wanaojifungua Watoto Njiti

DAR ES SALAAM: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema uamuzi wa serikali kutohesabu likizo ya uzazi kwa watakaojifungua Watoto Njiti…

Soma Zaidi »

Ubunifu MSD waivutia Sierra Leone kujifunza

DAR ES SALAAM; Wataalamu wa Afya kutoka nchini Sierra Leone wametembelea Bohari ya Dawa (MSD) kwa lengo kujifunza ubunifu ambao…

Soma Zaidi »

MOI yawashika mkono wenye matatizo ya viungo

DAR ES SALAAM: Katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Taasisi ya Tiba ya Mifupa na ubongo ya Hospitali ya Taifa…

Soma Zaidi »

Wachangia Sh Mil 350 kutibu magonjwa ya macho

MTWARA: WADAU mkoani Mtwara wamechangia Sh milioni 350 kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wa macho wenye uhitaji. Akikabidhi kiasi hicho…

Soma Zaidi »

Chanjo saratani mlango wa kizazi yafanikiwa 95%

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya imesema utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa Kizazi umefanikiwa na kufikia asilimia…

Soma Zaidi »

Serikali kuanzisha taasisi upasuaji ubongo

DAR ES SALAAM; Wizara ya Afya imedhamiria kuanzisha taasisi mahususi itakayoshughulikia masuala ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu…

Soma Zaidi »

Chanjo ya saratani haihusiani na uzazi wa mpango.

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya imesema chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi (HPV) imethibitishwa kuwa ni salama hivyo…

Soma Zaidi »

JKCI yaokoa milioni 600 upasuaji watoto 40

DAR ES SALAAM: JUMLA ya Sh milioni 600 zitaokolewa baada ya watoto 40 kufanyiwa kupasuaji wa moyo katika Taasisi ya…

Soma Zaidi »

Watoto 200 kupatiwa matibabu bure MOI

DAR ES SALAAM: WATOTO 200 wenye matatizo ya mifupa na viungo wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi na upasuaji bure katika kambi maalum…

Soma Zaidi »

Ummy: Kufanya mazoezi na mimi Ruksa!

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kama kuna Mtanzania anataka kushiriki mazoezi na Waziri wa Afya yuko…

Soma Zaidi »
Back to top button