Afya

Watumiaji dawa za kufubaza VVU wapewa neno

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMRI) Profesa Said Aboud amewahimiza watumiaji wa dawa…

Soma Zaidi »

Milioni 200 kwa watoto Muhimbili

DAR-ES-SALAAM : KIASI cha Sh milioni 200 kinatarajiwa kuchangwa kupitia mbio  za watoto(fun run) kupitia  programu ya Mtoto day out …

Soma Zaidi »

NIC waja na Bima ya Maisha

SHIRIKA la Bima la Taifa (NIC) limetambulisha aina mpya ya bima ijulikanayo kama ” Bima ya Maisha” inayotoa dhamana ya…

Soma Zaidi »

‘Wengi wamekutwa na magonjwa wasiyoyatambua’

IFAKARA, Morogoro: MKUU wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya amewaagiza watendaji wa vijiji, kata na maofisa maendeleo ya jamii wa…

Soma Zaidi »

Ndugulile achaguliwa Mkurugezi Mkuu WHO Afrika

CONGO, Brazzaville – Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dk Faustine Ndugulile ameshinda uchaguzi wa kiti…

Soma Zaidi »

Washauriwa kula mboga mboga kuepuka udumavu

WANANCHI wa Tanzania na Afrika wametakiwa kuzingatia kula mboga mboga ili kuepukana na tatizo la udumavu, uzito uliopitiliza na utapiamlo.…

Soma Zaidi »

Watu 1,000 kufikiwa afya bure Ifakara

IFAKARA, Morogoro: MENEJA wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF) Mkoa wa Morogoro, Mbala Shitindi amesema wanatarajia kuwafikia takribani…

Soma Zaidi »

Mawasiliano kuboreshwa hospitali ya Temeke

DAR ES SALAAM :WIZARA ya Afya imeahidi kuboresha maeneo yatakayoimarisha huduma za afya kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa…

Soma Zaidi »

Elimu wataalamu wa afya ni uwekezaji-Prof Msofe

MKURUGENZI wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Sanyansi na Teknolojia Profesa Peter Msofe amesema kuimarishwa kwa elimu ya…

Soma Zaidi »

Watu 30 kupandikizwa nyonga, magoti

JUMLA ya watu 30 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa upandikizaji wa nyonga na magoti katika kambi ya siku tano iliyoanza leo…

Soma Zaidi »
Back to top button