Afya

Dk Mollel ataka kampeni kusambaza taulo za kike mashuleni

ARUSHA: NAIBU Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amewataka wadau wa afya zikiwemo taasisi za Umma, Asasi na Mashirika yasiyo…

Soma Zaidi »

Ummy ataja njia kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza

GENEVA, Uswisi: ULAJI wa vyakula kwa kupunguza matumizi ya chumvi, sukari na mafuta husaidia kupunguza magonjwa yasiyoambukiza. Waziri wa Afya,…

Soma Zaidi »

Kampeni ya Holela-Holela itakukosti yazinduliwa

DAR ES SALAAM: KAMPENI ya Holela holela itakukosti imezinduliwa jijini Dar es Salaam wiki hii. Uzinduzi huo umefanywa na Ofisi…

Soma Zaidi »

TNMC yawasimamisha tisa kutoa huduma

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewasimamisha wauguzi na wakunga tisa na kutoa onyo kwa wengine nane baada ya…

Soma Zaidi »

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa

TANGA: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi holela ya dawa za antibiotik ili kuepuka usugu wa vimelea…

Soma Zaidi »

Jenereta yashindwa kutumika hospitali kwa kukosa chumvi, mkaa

BUSEGA, Simiyu: MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda ametoa siku tano kwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, Faidha…

Soma Zaidi »

Watumia njia za uzazi waongezeka 150% Nzega

NZEGA, Tabora: MATUMIZI ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango yameongezeka katika Zahanati ya Ubinga, Kijiji cha Ubinga wilayani Nzega…

Soma Zaidi »

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

LINDI: BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima…

Soma Zaidi »

‘Watanzania changieni damu uhitaji ni mkubwa’

DAR ES SALAAM: MPANGO wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) umewahamiza watanzania kujitolea kuchangia damu ili kutatua changamoto ya upatikanaji…

Soma Zaidi »

Waganga,wafamasia fuatilieni matumizi ya dawa

KATAVI: Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewaagiza waganga Wakuu wa Wilaya na Wafamasia kufuatilia matumizi sahihi ya bidhaa…

Soma Zaidi »
Back to top button